2 Samweli 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Kisha aliwashinda Wamoabu. Aliwapanga katika mistari mateka hao, na kuwalalisha chini. Aliamuru wale waliokuwa katika mistari miwili wauawe na wale wa mustari wa tatu waachwe wazima. Hivyo, Wamoabu wakakuwa watumishi wa Daudi na wakakuwa wanamulipa kodi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |