Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 8:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Zadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiatari walikuwa makuhani. Seraya alikuwa katibu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 8:17
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuhani Abiatari akatoka, hata na kuhani Zadoki akatoka pamoja na Walawi wote wakilibeba Sanduku la Agano la Mungu. Wakaliweka lile Sanduku la Mungu chini, mpaka watu wote walipopita kutoka Yerusalema.


Kisha Husayi akawaambia makuhani Zadoki na Abiatari jinsi Ahitofeli na yeye mwenyewe walivyomushauria Abusaloma na wazee wa Israeli.


Mufalme Daudi akatuma ujumbe kwa makuhani Zadoki na Abiatari: “Muwaambie wazee wa Yuda: ‘Kwa nini ninyi ndio mutakuwa wa mwisho kumurudisha mufalme katika nyumba yake? Maneno yote Waisraeli waliyosema yamenifikia mimi mufalme.


Lakini hakunialika mimi mutumishi wako wala kuhani Zadoki wala Benaya mwana wa Yehoyada wala mutumishi wako Solomono.


Yehoyada akatwaa sanduku na kutoboa tundu kwenye kifuniko chake, kisha akaliweka kwenye mazabahu upande wa kuume, mutu anapoingia katika nyumba ya Yawe. Nao makuhani waliokuwa wakichunga kwenye mulango waliweka ndani ya sanduku feza zote zilizotolewa katika nyumba ya Yawe.


Walipomwita mufalme Hezekia walipokelewa na Eliakimu mwana wa Hilkia ambaye alikuwa musimamizi wa nyumba ya kifalme, Sebuna aliyekuwa mwandishi wa mufalme, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wa habari.


Yehoyada, wa uzao wa Haruni na wenzake: watu elfu tatu na mia saba.


Jamaa za Zadoki, kijana hodari katika vita, yeye pamoja na majemadari makumi mbili na wawili kutoka ukoo wa baba yake mwenyewe.


Daudi akawaita makuhani wawili, Zadoki na Abiatari, na Walawi sita, Urieli, Asaya, Yoeli, Semaya, Elieli na Aminadabu;


Mufalme Daudi akawaweka kuhani Zadoki na makuhani wenzake kuwa watumishi wa hema ya Yawe iliyokuwa pahali pa kuabudia kule Gibeoni


kwa kutolea Yawe sadaka za kuteketezwa kwa moto juu ya mazabahu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto siku zote asubui na magaribi, kulingana na yote yaliyoandikwa katika sheria ambayo Yawe aliyowaamuru Waisraeli.


Zadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiatari walikuwa makuhani; Sausa alikuwa katibu;


Mali na Musi. Hawa ndio wazao wa Lawi kufuatana na babu zao:


Yokimeamu pamoja na mashamba yake ya malisho, Beti-Horoni pamoja na mashamba ya malisho yake;


Azariya mwana wa Hilkia mwana wa Mesulamu mwana wa Zadoki, mwana wa Merayoti mwana wa Ahitubu, aliyekuwa mukubwa wa nyumba ya Mungu;


mwana wa Salumu mwana wa Zadoki mwana wa Ahitubu


Basi, Baruku alisoma maneno ya Yeremia kutoka katika kile kitabu mbele ya watu wote, ndani ya nyumba ya Yawe, katika chumba cha Gemaria mwana wa Safanu aliyekuwa katibu. Chumba hicho kilikuwa katika baraza la juu, kwenye mulango mupya wa nyumba ya Yawe.


Lakini makuhani wa kabila la Lawi ambao ni wazao wa Zadoki walioendelesha kazi yangu katika pahali patakatifu pangu, wakati Waisraeli waliponiacha, hao ndio watakaoendelea kunitumikia na kuja mbele yangu kunitolea mafuta na damu. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.–


Si aliingia ndani ya nyumba ya Mungu na kula mikate mitakatifu iliyotolewa kwa Mungu? Jambo hili lilifanyika wakati Abiatari alipokuwa Kuhani Mukubwa. Ni makuhani tu walioruhusiwa kula mikate ile, lakini Daudi alikula na kuwapa watu wake vilevile.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ