2 Samweli 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 alimutuma mwana wake Yoramu kwa mufalme Daudi kwa kumupelekea salamu na shukrani kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumushinda. Maana Hadadezeri alipigana na Toi mara nyingi. Yoramu alimupelekea Daudi zawadi za vyombo vya feza, zahabu na shaba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |