Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 alimutuma mwana wake Yoramu kwa mufalme Daudi kwa kumupelekea salamu na shukrani kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumushinda. Maana Hadadezeri alipigana na Toi mara nyingi. Yoramu alimupelekea Daudi zawadi za vyombo vya feza, zahabu na shaba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 8:10
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu akawauliza habari zao na kusema: “Mulinielezea habari za muzee, baba yenu. Yuko salama? Angali muzima?”


Kwa ajili ya Yawe, Daudi akatakasa zawadi zile, pamoja na feza na zahabu ambazo alikuwa ameziteka kwa mataifa yote aliyoyashinda,


Wakati Toi, mufalme wa Hamati, aliposikia kwamba Daudi amewashinda waaskari wote wa Hadadezeri,


Zaidi ya hayo, watumishi wa mufalme walikuja kumupa pole bwana wetu mufalme Daudi wakisema: ‘Mungu wako alifanye jina la Solomono kuwa lenye sifa kuliko lako; tena akitukuze kiti chake cha kifalme kuliko kiti chako.’ Halafu mufalme akainama juu ya kitanda


akatuma mwana wake Hadoramu kwa mufalme Daudi, kumupelekea salamu na shukrani kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumushinda. Maana Hadadezeri alipigana na Toi mara nyingi. Hadoramu alimupelekea Daudi zawadi za vyombo vya feza, zahabu na shaba.


Watu wengi sana walikuja wakamuletea Yawe sadaka kule Yerusalema, vilevile wakamuletea Hezekia, mufalme wa Yuda zawadi za bei kali. Hivyo kutoka wakati ule, akasifiwa sana na mataifa mengine yote.


Naye anayepita karibu asiwaambie: “Yawe awabariki! Tunawabariki kwa jina la Yawe!”


Wakati huo, mufalme Merodaki-Baladani mwana wa Baladani, mufalme wa Babeli, aliposikia kwamba Hezekia alikuwa mugonjwa na sasa amepona, alimutumia wajumbe waliomupelekea barua pamoja na zawadi.


Mara tu alipokuwa anamaliza kutoa sadaka ya kuteketezwa, Samweli akafika. Saulo akatoka inje kwenda kumupokea Samweli na kumusalimia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ