Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Tangu siku ile nilipowatoa Waisraeli katika inchi ya Misri mpaka hivi leo sijaishi kwenye nyumba. Nimetembea kila pahali nikiwa ninakaa katika hema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 7:6
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uria alimujibu Daudi: “Sanduku la Agano, pamoja na waaskari wote wa Israeli na Yuda wanakaa kwenye vibanda katika vita. Bwana wangu Yoabu na watumishi wake wote wamepiga kambi katika mbuga. Basi ni vizuri mimi niende nikule na kunywa na kulala na muke wangu? Ninaapa kwamba, kama vile unavyoishi, sitafanya kitu cha namna ile.”


‘Tangu nilipowaondoa watu wangu Waisraeli katika inchi ya Misri, sikuchagua muji wowote katika makabila ya Waisraeli kusudi nijengewe nyumba nitakamoabudiwa; lakini nilimuchagua Daudi, atawale watu wangu, Waisraeli.’


“Kule katika jangwa babu zetu walikuwa na ile hema inayokuwa na vibao vya agano ndani yake. Hema ile ilikuwa imetengenezwa kama vile Mungu alivyomwagiza Musa, na mufano ule alioonyeshwa.


Kuna ulinganisho gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu Mwenye Uzima kama vile yeye mwenyewe alivyosema: “Nitakaa na kuishi pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”


Kati ya vifaa vyenu mutakuwa na jembe, na hilo mutalitumia kuchimba shimo na kufukia mavi yenu.


Nyuma ya kuishinda ile inchi, Waisraeli wote pamoja wakakusanyika kule Shilo na kulisimika hema la kusanyiko.


“Umwandikie malaika wa kanisa la Efeso hivi: “Ujumbe huu unatoka kwa yule anayeshika nyota saba katika mukono wake wa kuume na anayetembea katikati ya vinara saba vya taa vya zahabu.


Waisraeli wakamwomba Yawe awape shauri. Wakati ule Sanduku la Agano la Yawe lilikuwa kule Beteli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ