Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 7:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 “Kwenda umwambie mutumishi wangu Daudi: Yawe anasema hivi: Si wewe utakayenijengea nyumba ya kukaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 7:5
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini usiku uleule neno la Yawe lilimufikia Natani kusema hivi:


“Unajua kwamba baba yangu Daudi hakuweza kumujengea Yawe, Mungu wake, hekalu la kumwabudia, kwa sababu ya vita vilivyomuzunguka pande zote mpaka hapo Yawe alipomupatia ushindi.


“Juu ya nyumba hii unayoijenga, kama ukifuata masharti yangu, ukiyatii maagizo yangu na amri zangu zote, nitakutimizia mambo yote niliyomwahidi baba yako Daudi.


“Kwenda umwambie mutumishi wangu Daudi: Yawe anasema hivi: Wewe hautanijengea nyumba ya kukaa.


Lakini Mungu alinikataza, kwa sababu mimi ni mutu wa vita na nimekwisha mwanga damu nyingi.


Mwanadamu anapanga mipango yake, lakini neno la mwisho ni la Yawe.


Yawe anasema hivi: Mbingu ni kiti changu cha kifalme, dunia ni kiti cha kupumzikishia miguu yangu. Mutanijengea nyumba ya namna gani basi, pahali nitakapoweza kupumzikia?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ