Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 7:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Nalo jina lako litatukuzwa milele, nao watu watasema: ‘Yawe wa majeshi ni Mungu juu ya Israeli!’ Na jamaa yangu, mimi Daudi mutumishi wako, itaimarika mbele yako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 7:26
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Abrahamu akamwambia Mungu: “Ingekuwa heri ukubali ahadi hiyo yako imwelekee Isimaeli.”


Basi, sasa, ee Yawe Mungu, uikamilishe ile ahadi uliyosema juu yangu mimi mutumishi wako na juu ya jamaa yangu.


Kwa wakati wa kutoa sadaka ya magaribi, nabii Elia aliikaribia mazabahu, akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, uwaonyeshe watu leo hii kwamba wewe ndiwe Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mutumishi wako na nimefanya mambo haya kwa amri yako.


Unijibu, ee Yawe, unijibu kusudi watu hawa wajue kwamba wewe Yawe ndiwe Mungu, na kwamba umeigeuza mioyo yao wakurudilie.”


Si sisi, ee Yawe, si sisi; lakini wewe peke yako utukuzwe, kwa ajili ya wema na uaminifu wako.


Umujalie mufalme maisha marefu, miaka yake ikuwe ya vizazi vingi.


“Nimeapa mara moja tu kwa utakatifu wangu; nami sitamwambia Daudi uongo.


Basi muangalie namna munavyopaswa kusema munapoomba: ‘Baba yetu unayekuwa mbinguni, Jina lako litukuzwe;


Baba, utukuze jina lako!” Halafu sauti ikasikilika toka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ