Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 7:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Kutokana na ahadi yako na kulingana na moyo wako, umetenda makubwa hayo yote kusudi unijulishe mimi mutumishi wako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 7:21
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Yawe, kwa ajili ya mutumishi wako na kwa kufuatana na moyo wako mwenyewe, umeyatenda hayo makubwa yote, kusudi hayo matendo makubwa yote yajulikane.


Si sisi, ee Yawe, si sisi; lakini wewe peke yako utukuzwe, kwa ajili ya wema na uaminifu wako.


Ninainama uso mpaka chini kuelekea hekalu lako takatifu. Ninalisifu jina lako, kwa sababu ya wema na uaminifu wako. Umeheshimisha jina lako na neno lako kuliko vitu vyote.


Mungu si mutu, hata aseme uongo, wala si mwanadamu, hata abadilishe nia yake! Ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?


Ndiyo, Baba, hayo yote ni kutokana na mapenzi yako.


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Aliahidi kuwasikilia babu zetu huruma; na kukumbuka agano lake takatifu,


Saa ile ile, Yesu akajazwa na furaha kwa uwezo wa Roho Mutakatifu, naye akasema: “Ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, ninakushukuru kwa maana mambo uliyoyaficha kwa watu wenye hekima na elimu, umeyafunua kwa wanaokuwa wadogo. Ndiyo Baba, hayo yote ni kutokana na mapenzi yako.


“Musiogope ninyi kundi dogo! Kwa kuwa Baba yenu amependelea kuwapa ninyi ule Ufalme wake.


Barua hii inatoka kwangu mimi Paulo na kwa ndugu yetu Sositeni. Ni mimi niliyeitwa na Mungu kwa mapenzi yake kuwa mutume wa Kristo Yesu.


Ametujulisha mipango yake iliyokuwa imefichwa; ndiyo ile aliyokusudia kwa mapenzi yake tangu mbele kwamba ataitimiza kwa njia ya Kristo.


Mungu amefanya hivi kufuatana na kusudi lake la milele alilofanya kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu.


Lakini mutendeane wema ninyi kwa ninyi; musameheane kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.


Munaweza kuirizi inchi yao si kwa sababu ninyi ni watu wa haki wenye mioyo ya usawa; lakini Yawe, Mungu wenu, anawafukuza watu hao mbele yenu kwa sababu ni waovu na anataka kuweka imara lile neno alilowaapia babu zenu, Abrahamu, Isaka na Yakobo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ