Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 6:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Walipofika kwenye uwanja wa kupepetea ngano wa Nakoni, Uza aliunyoosha mukono wake na kuligusa Sanduku la Mungu kwa sababu wale ngombe walijikwaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 6:6
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipofika katika uwanja wa kupepetea ngano wa Atadi, ngambo ya muto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamufanyia baba yake marehemu kilio cha siku saba.


Walipofika kwenye uwanja wa kupepetea ngano wa Kidoni, Uza akaunyoosha mukono wake kwa kuzuia Sanduku la Agano kwa sababu ngombe walijikwaa.


Kisha Haruni na wana wake kufunika Pahali Patakatifu pamoja na vyombo na vifaa vyake vyote, wakiwa tayari kuanza safari, watu wa ukoo wa Kohati watakuja na kuvibeba. Lakini wao, hawaruhusiwi kabisa kugusa vyombo hivyo vitakatifu, kusudi wasikufe. Hiyo ndiyo kazi ya ukoo wa Kohati kila wakati hema la mukutano linapohamishwa.


Musiache ukoo wa jamaa za Kohati kati ya Walawi uangamizwe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ