4 likiwa na Sanduku lile la Mungu, naye Ahio akiwa anatangulia mbele ya Sanduku lile.
Basi, wakaondoa Sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Abinadabu iliyokuwa juu ya mulima, wakalibeba juu ya gari jipya. Wana wa Abinadabu, Uza na Ahio, wakaongoza gari lile jipya,
Basi, wakalitwaa Sanduku la Agano kutoka katika nyumba ya Abinadabu wakilibeba juu ya gari jipya. Uza na Ahio wakaongoza gari lile.