Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 6:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Hivyo, yeye na Waisraeli wote walilipeleka Sanduku la Yawe mpaka katika muji wa Daudi kwa shangwe na sauti kubwa ya baragumu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 6:15
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi alikuwa amejifungia kizibao cha kuhani katika kiuno chake. Alicheza kwa nguvu zake zote mbele ya Yawe.


Sanduku la Yawe lilipokuwa linaingia katika muji wa Daudi, Mikali binti wa Saulo alichungulia kwenye dirisha, akamwona mufalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele ya Yawe. Basi, akamuzarau ndani ya moyo wake.


Daudi aliwaamuru vilevile wakubwa wa Walawi wachague kati ya wandugu zao waimbaji wakuwe wanaimba na kupiga ala za muziki kwa nguvu, kwa kutoa sauti za furaha. Walipiga vinanda, vinubi na matoazi.


Basi, Daudi, wazee wa Waisraeli na majemadari wa maelfu, wakaenda kutwaa Sanduku la Agano la Yawe kutoka katika nyumba ya Obedi-Edomu kwa shangwe.


Hivyo, Waisraeli wote wakakusanyika pamoja kwa shangwe kwa kubeba Sanduku la Agano la Yawe mpaka Yerusalema. Wakalisindikiza kwa mulio wa baragumu, ngunga, matoazi, na sauti kubwa za vinanda na vinubi.


Waadui zake nitawavalisha haya; lakini yeye nitamuvalisha utukufu wa kifalme.”


Waaminifu wafurahi, wakitukuza Mungu, hata wanapolala.


Mumusifu kwa mulio wa baragumu, mumusifu kwa zeze na kinubi!


Kutoka Mukubwa wa Wakora. Zaburi ya Wakora.


Mufalme ataingia ndani watu wanapoingia, na atatoka wanapotoka.


mimi nitaendelea kumufurahia Yawe. Nitamushangilia Mungu anayeniokoa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ