2 Samweli 6:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Mufalme Daudi aliposikia kwamba Yawe ameibariki jamaa ya Obedi-Edomu na vitu vyote alivyokuwa navyo kwa sababu ya Sanduku la Mungu, akaenda kuliondoa Sanduku la Agano kutoka katika nyumba ya Obedi-Edomu na kulipeleka kwenye muji wa Daudi kwa shangwe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |