Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Sanduku hilo la Yawe lilikaa katika nyumba ya Obedi-Edomu kwa muda wa miezi mitatu; naye Yawe akamubariki Obedi-Edomu pamoja na jamaa yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 6:11
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Labani akamwambia: “Basi uniruhusu nami niseme. Nimetambua kwa kuaguza kwamba Yawe amenibariki kwa sababu yako.


Yule mukubwa wa kifungo hakujishugulisha tena na kitu chochote Yosefu alichopewa kwa maana Yawe alikuwa pamoja na Yosefu na kufanikisha kila kitu alichofanya.


Tokea wakati Potifari alipomufanya Yosefu kuwa musimamizi wa nyumba yake na mwangalizi wa mali yake, Yawe akabariki nyumba ya yule Mumisri kwa ajili ya Yosefu. Baraka za Yawe zikakuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho, ndani ya nyumba na katika shamba.


Kwa hiyo, Daudi hakukuwa tayari kwa kulipeleka Sanduku la Yawe ndani ya muji wa Daudi, lakini Daudi alilipeleka katika nyumba ya Obedi-Edomu wa Gati.


Vilevile kulikuwa Obedi-Edomu, ambaye Mungu alimubariki kwa kumupa wana wanane: Semaya muzaliwa wake wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa ine, Netaneli wa tano,


Mulete katika gala yangu zaka yote, kusudi katika nyumba yangu kuwe chakula cha kutosha. Kisha munaweza kunijaribu. Munipime namna hiyo nanyi mutaona kama sitayafungua madirisha ya mbinguni na kuwatiririshia baraka tele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ