Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kwa hiyo, Daudi hakukuwa tayari kwa kulipeleka Sanduku la Yawe ndani ya muji wa Daudi, lakini Daudi alilipeleka katika nyumba ya Obedi-Edomu wa Gati.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 6:10
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, mufalme Daudi alipomwona Itayi wa Gati, alimwambia: “Kwa nini hata wewe umeondoka pamoja nasi? Rudi ukae na yule mufalme kijana. Maana wewe ni mugeni huku, tena ni mukimbizi kutoka kwenu.


Daudi akatuma waaskari wake kwa vita katika vikundi vitatu: sehemu moja ya tatu ikiwa chini ya uongozi wa Yoabu, sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Abisayi mwana wa Zeruya, ndugu ya Yoabu; na sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Itayi wa muji wa Gati. Kisha mufalme Daudi akawaambia wote: “Mimi mwenyewe vilevile nitakwenda pamoja nanyi.”


Wakaaji wa Beroti walikimbilia Gitaimu, na wameishi kule kama wageni mpaka leo.


Hata hivyo, mufalme Daudi aliteka kikingio cha Sayuni, ni kusema muji wa Daudi.


Daudi alikaa kwenye kikingio hicho. Akakiita: “Muji wa Daudi.” Daudi akaongeza muji, akianzia uwanja wa Milo kuelekea ndani.


Kisha wakawachagua Walawi hawa wakuwe wasaidizi wao kwa kushika nafasi ya pili: Zekaria, Yazieli, Semiramoti, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maseya, Matitia, Elifelehu na Mikineya na walinzi wa mulango: Obedi-Edomu na Yeieli.


Sebania, Yosafati, Netaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, waliokuwa makuhani, waliwekwa kwa kupiga baragumu mbele ya Sanduku la Agano. Obedi-Edomu na Yehiya waliwekwa vilevile kuwa walinzi wa sanduku.


Akamuchagua Asafu kuwa kiongozi wao, akisaidiwa na Zekaria. Yeieli, Semiramoti, Yehieli, Metitia, Eliabu, Benaya, Obedi-Edomu na Yehieli, akawachagua wakuwe wapiga vinanda na vinubi. Asafu alipiga matoazi,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ