Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 5:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Daudi alikaa kwenye kikingio hicho. Akakiita: “Muji wa Daudi.” Daudi akaongeza muji, akianzia uwanja wa Milo kuelekea ndani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 5:9
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata hivyo, mufalme Daudi aliteka kikingio cha Sayuni, ni kusema muji wa Daudi.


Siku hiyo, Daudi alisema: “Mutu yeyote atakayewapiga Wayebusi apitie kwenye mufereji wa maji kwa kuwashambulia vilema na vipofu ambao roho yangu inawachukia.” Ndiyo maana watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia katika nyumba.”


Kwa hiyo, Daudi hakukuwa tayari kwa kulipeleka Sanduku la Yawe ndani ya muji wa Daudi, lakini Daudi alilipeleka katika nyumba ya Obedi-Edomu wa Gati.


Kisa cha uasi huo ni hiki: Solomono alijenga uwanja wa Milo na kuimarisha kuta za muji wa baba yake Daudi.


Haya ni maelezo juu ya mufalme Solomono, jinsi alivyowatumikisha watu kazi za kulazimishwa katika kujenga nyumba ya Yawe, nyumba yake ya kifalme, uwanja wa Milo, na ukuta wa Yerusalema, na vilevile katika kujenga upya miji ya Hazori, Megido na Gezeri.


Kisha binti ya mufalme wa Misri alihama katika muji wa Daudi, akaenda kukaa katika nyumba yake mwenyewe ambayo Solomono alimujengea. Kisha Solomono akajenga uwanja wa Milo.


Mambo mengine ya Yoasi na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda.


Wakubwa wa serikali yake wakamwasi, wakamwuia katika uwanja wa Milo kwenye barabara inayoelekea Sila.


Akajenga muji ule, akianzia uwanja wa Milo, na kuuzunguka wote, na Yoabu akatengeneza muji ule upya.


Hezekia akajitia moyo, akajenga upya ukuta wote uliokuwa umebomoka, na juu yake akajenga minara. Upande wa inje, akajenga ukuta mwingine wa pili, na akaiimarisha uwanja wa Milo katika muji wa Daudi. Zaidi ya hayo akatengeneza silaha na ngao kwa wingi.


Mulango wa Chemichemi ukajengwa upya na Salumu mwana wa Koli-Hoze, mukubwa wa wilaya ya Misipa. Akaufunika, akauweka mulango kwa nafasi yake, akatia vyuma na vifungio vyake. Kwenye Kisima cha Sela akajenga ukuta unaokuwa karibu na bustani ya kifalme mpaka kwenye ngazi zinazoshuka toka muji wa mufalme Daudi.


Yerusalema ni muji uliojengwa kusudi makundi ya watu yakutane humo.


Ole kwako Yerusalema, mazabahu ya Mungu, muji ambamo Daudi alipiga kambi yake! Miaka inakuja na kupita, na sikukuu zako zinaendelea kufanyika;


Lakini, kama sivyo, moto utoke kwa Abimeleki na kuwateketeza wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo, tena moto utoke kwa wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo na kumuteketeza Abimeleki.”


Wanainchi wote wa Sekemu na Beti-Milo wakakusanyika kwenye muti wa mwalo unaokuwa karibu na munara kule Sekemu, wakamufanya Abimeleki kuwa mufalme wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ