2 Samweli 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Siku hiyo, Daudi alisema: “Mutu yeyote atakayewapiga Wayebusi apitie kwenye mufereji wa maji kwa kuwashambulia vilema na vipofu ambao roho yangu inawachukia.” Ndiyo maana watu wanasema: “Vipofu na vilema hawataingia katika nyumba.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |