Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 5:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Kwa mara ya pili, Wafilistini walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 5:22
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Wafilistini walifanya vita tena na Waisraeli. Daudi na watu wake wakaenda kupigana na Wafilistini. Daudi alichoka sana siku ile.


Kisha, mashujaa watatu kati ya wakubwa makumi tatu waliteremuka wakati wa mavuno, wakamufikia Daudi kwenye pango kule Adulamu. Wakati ule kundi la waaskari wa Wafilistini lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu.


Wafilistini walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.


Kisha, yule nabii akamwendea mufalme wa Israeli, akamwambia: “Uongeze nguvu yako, ufikiri vizuri la kufanya. Mwaka kesho, mufalme wa Aramu atakuja kukushambulia tena.”


Kisha Wafilistini wakafanya mashambulizi katika bonde lile kwa mara ya pili.


Itakuwa kama wakati wa mavuno, wakati wamekwisha kuokota ngano, na kukusanya masuke katika mukono. Hakika, itakuwa kama bonde la Refaimu wakati wamekwisha kuvuna ngano.


Kisha, mupaka huo ulipitia kwenye Bonde la Hinomu, upande wa kusini wa kilima cha Wayebusi, ni kusema Yerusalema, kuelekea kilele cha mulima unaokuwa upande wa magaribi wa bonde la Hinomu na kufika mwisho wa bonde la Refaimu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ