14 Haya ndiyo majina ya wana ambao wake zake walimuzalia kule Yerusalema: Samua, Sobabu, Natani, Solomono,
Ibuhari, Elisua, Nefegi, Yafia,
Haya ndiyo majina ya watoto aliozaa kule Yerusalema: Samua, Sobabu, Natani, Solomono,
Inchi itaomboleza, kila ukoo utaomboleza peke yake: wanaume peke yao na wanawake peke yao, ukoo wa Daudi peke yake, ukoo wa Natani peke yake,
ulioutayarisha mbele ya watu wote.