2 Samweli 5:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Daudi alijitwalia wahabara na kuoa wake zaidi wa kule katika muji wa Yerusalema kisha kutoka Hebroni. Hao, wakamuzalia wana na wabinti. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Hawa ndio wana wa mufalme Daudi waliozaliwa wakati alipokuwa kule Hebroni: Amunoni, muzaliwa wake wa kwanza. Mama yake aliitwa Ahinoamu, wa muji wa Yezereheli; wa pili: Danieli ambaye mama yake aliitwa Abigaili wa muji wa Karmeli; wa tatu: Abusaloma, ambaye mama yake aliitwa Maka, binti ya Talmai mufalme wa Gesuri; wa ine: Adonia, ambaye mama yake aliitwa Hagiti; wa tano: Sefatia, ambaye mama yake aliitwa Abitali; wa sita: Itiramu, ambaye mama yake aliitwa Egla.