Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini Daudi akamujibu Rekabu na ndugu yake Bana, wana wa Rimoni wa Beroti: “Kama vile Yawe anavyoishi, yeye ameyakomboa maisha yangu kutoka kila adui.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 4:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya babu zangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi katika dunia.”


Mwana huyo wa Saulo alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa makundi yake ya waaskari. Mumoja aliitwa Bana na mwingine Rekabu. Hao walikuwa wana wa Rimoni, mutu wa kabila la Benjamina wa muji wa Beroti (kwa maana Beroti vilevile ulikuwa mali ya kabila la Benjamina).


Halafu mufalme aliapa, akisema: “Kama vile Yawe anavyoishi, yule aliyekomboa roho yangu katika taabu nyingi,


Ananiokoa kutoka kifo, na kunijalia wema na rehema zake.


Aliwaokoa katika mikono ya waliowachukia; aliwaokoa kutoka nguvu za waadui zao.


Museme hivyo, enyi muliokombolewa na Yawe, watu ambao aliwaokoa katika taabu,


lakini anawapinga watu wanaotenda maovu, kusudi afute majina yao kutoka katika dunia.


Ubaya unawaletea waovu kifo; wanaowachukia watu wa haki wataazibiwa.


Usimugeuzie mutumishi wako mugongo, unijibu haraka, maana niko katika hatari.


Nitanyanyua sauti kwa furaha, ninapokuimbia wewe sifa zako, na roho yangu itakusifu, maana umeniokoa.


Angalia kama vile leo maisha yako yalivyokuwa na bei kali mbele yangu, ndivyo maisha yangu yapate kuwa na bei kali mbele ya Yawe; naye aniokoe kutoka taabu zote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ