2 Samweli 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Halafu walikamata kichwa cha Isiboseti na kumupelekea Daudi kule Hebroni. Nao wakamwambia mufalme Daudi: “Hiki ni kichwa cha Isiboseti mwana wa Saulo ambaye ni adui yako aliyekuwa anataka kuyaangamiza maisha yako. Yawe leo amekulipizia kisasi juu ya Saulo na wazao wake.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |