2 Samweli 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mwana huyo wa Saulo alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa makundi yake ya waaskari. Mumoja aliitwa Bana na mwingine Rekabu. Hao walikuwa wana wa Rimoni, mutu wa kabila la Benjamina wa muji wa Beroti (kwa maana Beroti vilevile ulikuwa mali ya kabila la Benjamina). အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |