Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mungu aniue ikiwa sitatimiza yote ambayo Yawe alimwapia Daudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:9
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninyi ni wandugu zangu, ninyi ni damu yangu. Kwa nini mukuwe wa mwisho kunirudisha mimi mufalme kwangu?


Muulize vilevile Amasa kama yeye si damu yangu. Tena Mungu aniue ikiwa simufanyi yeye kuwa jemadari wa kundi langu la waaskari tangu leo pahali pa Yoabu.’ ”


Kisha, watu wote walikwenda kumusihi Daudi akule chakula wakati ulipokuwa bado muchana. Lakini Daudi aliapa akawaambia: “Mungu aniue ikiwa nitaonja chakula au kitu chochote mpaka jua litakapotua.”


Yezebeli akatuma mujumbe kwa Elia amwambie: “Miungu waniue, ninakuapia, kama kesho nisipokuua kwa wakati kama huu sawa vile ulivyowaua wale manabii.”


Hapo mufalme Solomono akaapa kwa jina la Yawe, akisema: “Mungu aniue ikiwa Adonia hatakufa kwa sababu ya kutoa ombi hili!


Siku kwa siku, watu walijiunga na Daudi kwa kumusaidia, na nyuma akakuwa na kundi kubwa sana la waaskari, kama jeshi la Mungu.


Pale utakapokufia ni pale nitakufia nami, na ni palepale nitazikwa. Yawe anipe azabu kali kama nikitenganishwa nawe isipokuwa tu kwa kifo.”


Saulo akasema: “Mungu aniue ikiwa Yonatani hatauawa.”


Halafu Samweli akamwambia Saulo: “Tangu leo Yawe ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako na atamupa mutu mwingine kati ya wajirani zako anayekuwa bora kuliko wewe.


Mungu aniue mimi ikiwa kesho asubui nitakuwa sijawaua wanaume wake wote.”


Yawe amekutendea kile alichokuambia kwa njia yangu. Yawe ameurarua ufalme kutoka katika mikono yako, na amemupa Daudi jirani yako.


Eli akamwuliza: “Yawe alikuambia nini? Usinifiche alichokuambia. Ikiwa utanificha kitu alichokuambia, Mungu akuazibu vikali.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ