Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kadiri vita ilivyoendelea kati ya jamaa ya Daudi na ile ya Saulo, Abeneri alizidi kujiimarisha katika jamaa ya Saulo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kulikuwa vita ya muda murefu kati ya watu waliokuwa upande wa jamaa ya Saulo, na wale waliokuwa upande wa jamaa ya Daudi. Lakini Daudi alizidi kupata nguvu zaidi na zaidi, wakati upande wa Saulo ulizidi kuwa zaifu zaidi na zaidi.


na Itiramu muzaliwa wake wa sita, mama yake alikuwa Egla, muke wa kwanza wa Daudi. Wake wa Daudi walimuzalia wana hawa wote alipokuwa kule Hebroni.


Halafu Yehu akaingia katika hekalu la Bali akifuatana na Yonadabu na kuwaambia waliokuwa ndani ya hekalu: “Muhakikishe kwamba wanaokuwa humu ndani ya hekalu ni wale wanaomwabudu Bali tu, na kwamba hakuna mutu yeyote anayemwabudu Yawe.”


Lakini ukitaka kwenda, basi ufanye vile, ukuwe hodari katika vita, lakini Mungu atakufanya ushindwe na waadui, kwa maana Mungu ana nguvu kwa kusaidia au kumufanya mutu ashindwe.”


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


“Asiyekuwa wa upande wangu ni adui yangu; na asiyekusanya pamoja nami, anasambaza.


Muke wa Saulo aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimasi. Jemadari wa makundi ya waaskari wa Saulo aliitwa Abeneri mwana wa Neri, baba mudogo wa Saulo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ