5 na Itiramu muzaliwa wake wa sita, mama yake alikuwa Egla, muke wa kwanza wa Daudi. Wake wa Daudi walimuzalia wana hawa wote alipokuwa kule Hebroni.
Adonia muzaliwa wa ine, mama yake alikuwa Hagiti; Sefatia muzaliwa wake wa tano, mama yake alikuwa Abitali;
Kadiri vita ilivyoendelea kati ya jamaa ya Daudi na ile ya Saulo, Abeneri alizidi kujiimarisha katika jamaa ya Saulo.
Watoto ni urizi kutoka kwa Yawe; uzao ni zawadi yake kwetu sisi.