2 Samweli 3:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200235 Kisha, watu wote walikwenda kumusihi Daudi akule chakula wakati ulipokuwa bado muchana. Lakini Daudi aliapa akawaambia: “Mungu aniue ikiwa nitaonja chakula au kitu chochote mpaka jua litakapotua.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |