Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Abeneri alizikwa kule Hebroni na mufalme aliomboleza kwa sauti akiwa pembeni ya kaburi. Watu wengine wote walifanya vile vile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:32
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakaomboleza, wakalia na kufunga kula mpaka magaribi kwa ajili ya Saulo, Yonatani mwana wake, na inchi ya Waisraeli, watu wa Yawe, kwa maana wengi kati yao waliuawa katika vita.


Daudi akawaamuru vijana wake, nao wakawaua. Wakawakata mikono na miguu. Halafu wakawatundika juu ya muti pembeni ya kisima kule Hebroni. Lakini walikichukua kichwa cha Isiboseti na kukizika katika kaburi la Abeneri kule Hebroni.


Huo ungekuwa uovu wa kuazibiwa na waamuzi maana ningekuwa mwongo mbele ya Mungu anayekuwa juu.


Nimefurahia kuangamia kwa adui yangu, au kufurahi alipopatwa na hasara?


Usishangilie kuanguka kwa adui yako; usifurahie ndani ya moyo wako kujikwaa kwake,


Halafu Daudi na watu wake wakaanza kulalamika, wakalia mpaka walipoishiwa nguvu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ