2 Samweli 3:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Kisha, mufalme Daudi akamwambia Yoabu na wale wote waliokuwa pamoja naye, wapasue nguo zao, wavae nguo ya gunia kusudi wafanye kilio kwa ajili ya Abeneri. Wakati wa mazishi hayo, mufalme Daudi alitembea nyuma ya kipoyi cha maiti ya Abeneri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |