2 Samweli 3:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
26 Yoabu alipotoka kuzungumuza na Daudi, alituma wajumbe wamulete Abeneri, nao wakamukuta kwenye kisima cha Sira na kumurudisha, lakini Daudi hakujua jambo hilo.
Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.