Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Yoabu aliporudi akiwa na waaskari wake wote aliokuwa nao, aliambiwa kwamba Abeneri mwana wa Neri, alikuwa amekuja kumwona mufalme Daudi, naye amemwaga aende zake, naye ameondoka kwa amani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:23
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Yoabu pamoja na watu wa Daudi walirudi kutoka kwenye mashambulio, wakaleta vitu vingi. Lakini Abeneri hakukuwa pamoja na Daudi kule Hebroni maana Daudi alikuwa amemwaga aende zake, naye akaondoka kwa amani.


Yoabu alimwendea mufalme na kumwambia: “Sasa umefanya nini? Angalia Abeneri alikuja kwako; kwa nini umemwacha aende?


Si vizuri kumwazibu mutu asiyekuwa na kosa; ni kosa kuwapiga fimbo wenye heshima.


Muke wa Saulo aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimasi. Jemadari wa makundi ya waaskari wa Saulo aliitwa Abeneri mwana wa Neri, baba mudogo wa Saulo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ