Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Abeneri alipomwendea Daudi, alikuwa na watu makumi mbili. Daudi aliwafanyia karamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:20
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Isaka akawafanyia karamu, nao wakakula na kunywa.


Kisha akatoa sadaka kule kwenye mulima na kuwaalika wandugu zake wakule chakula. Kisha kula, wakabaki kule usiku kucha.


Abeneri akazungumuza na watu wa kabila la Benjamina, kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi juu ya yale ambayo watu wote wa Israeli na kabila lote la Benjamina walipatana kutenda.


Abeneri akamwambia Daudi: “Mimi sasa nitakwenda na kukuletea watu wote wa Israeli, wewe bwana wangu mufalme. Watakuja na kufanya agano nawe, kusudi ukuwe mufalme wao, nawe utawatawala wote kama unavyopenda.” Daudi akamwaga Abeneri aende zake, naye akaondoka kwa amani.


Katika mwaka wa tatu wa utawala wake, mufalme Ahasuero akaandaa karamu kwa ajili ya viongozi na watumishi wake wa serikali, wakubwa wa majeshi ya Persia na Media, watu wenye heshima na wakubwa wa majimbo.


Abigaili aliporudi kwake, alimukuta Nabali akifanya karamu kubwa katika nyumba yake kama ya kifalme. Nabali alikuwa akifurahi sana ndani ya moyo maana alikuwa amelewa sana. Kwa hiyo hakumwambia neno lolote mpaka asubui.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ