2 Wana ambao wake wa Daudi walimuzalia kule Hebroni walikuwa: Amunoni muzaliwa wake wa kwanza, mama yake aliitwa Ahinoamu wa muji wa Yezereheli;
Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ngombe wengi.
Nyuma ya miaka mine, Abusaloma alimwambia mufalme: “Tafazali, uniruhusu niende kule Hebroni kwa kutimiza kiapo changu ambacho nilimwekea Yawe.