Sasa, mulilete jambo hilo mbele ya watu kwa sababu Yawe alimwahidi Daudi hivi: ‘Kwa mukono wako wewe Daudi mutumishi wangu, nitawaokoa watu wangu Waisraeli kutoka Wafilistini na kutoka waadui zao wengine.’ ”
Haya ndiyo majina ya wakubwa wa mashujaa wa Daudi, ambao pamoja na watu wengine wote wa Israeli, walimwunga mukono kwa pamoja kusudi akuwe mufalme, sawa na neno Yawe alilotoa juu ya Waisraeli.