Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 3:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Abeneri alifanya mashauri na wazee wa Waisraeli, akawaambia: “Kwa muda fulani uliopita mumekuwa mukitaka Daudi akuwe mufalme wenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 3:17
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa, mulilete jambo hilo mbele ya watu kwa sababu Yawe alimwahidi Daudi hivi: ‘Kwa mukono wako wewe Daudi mutumishi wangu, nitawaokoa watu wangu Waisraeli kutoka Wafilistini na kutoka waadui zao wengine.’ ”


Haya ndiyo majina ya wakubwa wa mashujaa wa Daudi, ambao pamoja na watu wengine wote wa Israeli, walimwunga mukono kwa pamoja kusudi akuwe mufalme, sawa na neno Yawe alilotoa juu ya Waisraeli.


Ukubwa hautoki mashariki au magaribi, wala hautoki katika jangwa au kwa milima.


Mutu akimukamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Yawe akupe zawadi njema!


Basi, viongozi wote wa Waisraeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samweli katika muji wa Rama,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ