Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 24:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kisha, wakaenda Gileadi halafu Kadesi katika inchi ya Wahiti, halafu wakafika Dani na kutoka Dani wakazunguka kwenda Sidona,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 24:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,


Basi, Yakobo akatwaa mali yake yote, akatoroka. Kisha kuvuka muto Furati, akaelekea Gileadi, inchi ya milima.


Makabila ya Rubeni na Gadi yalikuwa na mifugo mingi sana. Basi, walipoona kwamba eneo la Yazeri na Gileadi lilifaa kwa mifugo,


Wazao wa Makiri mwana wa Manase wakashambulia inchi ya Gileadi, wakaiteka na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanakaa mule.


Yawe akawatia katika mikono ya Waisraeli, nao wakawashinda na kuwafukuza mpaka Sidona muji mukubwa na Misirepotaimu, mpaka upande wa mashariki katika bonde la Misipa. Waisraeli wakawapiga na kuwaua wote.


Eburoni, Rehobu, Hamoni, Kana mpaka Sidona muji mukubwa.


Watu wa kabila la Dani walipopoteza inchi yao, walikwenda na kuushambulia muji wa Lesemu. Waliushinda na kuuteka, na nyuma ya kuwaua wakaaji wake wote, wakaurizi halafu wakabadilisha jina la muji ule kuwa Dani; jina ambalo lilikuwa ni la babu yao.


Watu wa kabila la Aseri hawakuwafukuza wakaaji wa miji ya Ako, Sidona, Alabu, Akizibu, Helba, Afika na Rehobu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ