Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 24:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini neno la mufalme lilikuwa na nguvu zaidi mbele ya Yoabu na majemadari wa kundi la waaskari. Basi, Yoabu na majemadari wa waaskari wakaondoka mbele ya mufalme, wakaenda kuwahesabu Waisraeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 24:4
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yoabu akamwambia mufalme: “Yawe, Mungu wako, awaongeze Waisraeli mara mia kuliko walivyokuwa sasa, nawe bwana wangu mufalme upate kuona ongezeko hilo kwa macho yako mwenyewe. Lakini, kwa nini wewe bwana wangu mufalme unapendezwa na jambo hili?”


Walivuka muto Yordani wakianzia kuhesabu watu tangu Aroeri na muto unaokuwa katika bonde kuelekea Gadi mpaka Yazeri.


Lakini amri ya mufalme ilikuwa na nguvu zaidi mbele ya Yoabu. Halafu, Yoabu akaenda katika inchi ya Israeli yote, kisha akarudia Yerusalema.


Lakini kwa sababu wazalishaji wale walimwogopa Mungu, hawakufanya kama vile walivyoamuriwa na mufalme, lakini waliwaacha watoto wanaume wa Waisraeli waishi.


Kila mara utakapowahesabu Waisraeli, kila mumoja atatoa malipo kwa Yawe kwa ajili ya nafsi yake kusudi kusikuwe hasara kati yao wakati wa kuhesabiwa.


Amri ya mufalme ni shauri la mwisho. Nani anayesubutu kumwuliza: “Unafanya nini?”


Petro na mitume wengine wakajibu: “Inatupasa sisi kumutii Mungu kuliko watu!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ