Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 24:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Arauna alipoangalia upande wa chini alimwona mufalme akimusogelea pamoja na watumishi wake, naye akatoka, akaenda na kuinama uso mpaka chini mbele ya mufalme.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 24:20
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alipoinua macho yake, akaona watu watatu wakisimama mbali kidogo mbele yake. Mara tu alipowaona, akakimbia kutoka kwenye mulango wa hema yake, akakwenda kuwapokea. Alipowafikia akainama kwa heshima


Siku iliyofuata, mutu mumoja kutoka kambi ya Saulo, nguo zake zikiwa zimepasuka kwa huzuni na akiwa na mavumbi juu ya kichwa, alimwendea Daudi. Alipomufikia Daudi, alijitupa uso mpaka chini mbele yake kwa heshima.


Basi, Daudi akapanda juu kufuatana na neno la Gadi kama Yawe alivyomwamuru.


Kisha Arauna akamwuliza mufalme: “Kwa nini bwana wangu mufalme amenifikia mimi mutumishi wake?” Daudi akamujibu: “Nimekuja kununua kiwanja chako cha kupepetea ngano kusudi nimujengee Yawe mazabahu kusudi ugonjwa mukali uliowapata watu ukome.”


Mefiboseti akainama, na kusema: “Mimi ni sawa na imbwa mufu. Kwa nini unishugulikie hivyo?”


Hapo Ruta akamwinamia Boazi uso mpaka chini kwa unyenyekevu, akamwambia: “Nimepata namna gani kukubaliwa mbele yako? Mbona unanishugulikia ijapokuwa mimi ni mugeni tu?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ