Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 23:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Haya ni majina ya mashujaa Daudi aliokuwa nao: Yosebu-Basebeti, wa muji wa Takemoni ndiye aliyekuwa kiongozi wa wale watatu. Yeye alipigana kwa mukuki wake, akaua watu mia nane mara moja katika vita.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 23:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye Daudi aliposikia habari zile, alimutuma Yoabu kwenda na kundi lote la waaskari mashujaa.


Lakini kuhani Zadoki, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Natani na Simei, na Rei pamoja na walinzi wa Daudi, hawakumwunga Adonia mukono.


Haya ndiyo majina ya wakubwa wa mashujaa wa Daudi, ambao pamoja na watu wengine wote wa Israeli, walimwunga mukono kwa pamoja kusudi akuwe mufalme, sawa na neno Yawe alilotoa juu ya Waisraeli.


Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli waliokuwa viongozi wa jamaa, na majemadari wa maelfu na mamia na wakubwa wao waliomutumikia mufalme Daudi juu ya zamu za kuingia na kutoka. Kila mwezi katika mwaka, kundi tofauti la watu elfu makumi mbili na ine walishika zamu ya kufanya kazi.


Walikuwa chini ya usimamizi wa wakubwa hawa: Mwezi wa kwanza: Yasobeamu mwana wa Zabudieli, wa uzao wa Peresi. Alikuwa mukubwa wa majemadari wote wa jeshi katika mwezi wa kwanza. Mwezi wa pili: Dodayi wa Ahoa. Alisaidiwa na jemadari Mikiloti. Mwezi wa tatu: Benaya, mwana wa Yehoyada aliyekuwa Kuhani Mukubwa. Huyu ndiye Benaya aliyekuwa mutu shujaa katika kundi la watu makumi tatu na kiongozi wa kundi lile. Naye Amizabadi mwana wake, alikuwa jemadari. Mwezi wa ine: Asaheli, ndugu ya Yoabu, na nyuma yake alifuatwa na Zebadia mwana wake. Mwezi wa tano: Samuhuti wa uzao wa Isira. Mwezi wa sita: Ira mwana wa Ikesi wa muji wa Tekoa. Mwezi wa saba: Helesi wa muji wa Peloni, wa uzao wa Efuraimu. Mwezi wa nane: Sibekayi wa muji wa Husati, wa uzao wa Zera. Mwezi wa kenda: Abiezeri wa muji wa Anatoti wa uzao wa Benjamina. Mwezi wa kumi: Maharai wa muji wa Netofati wa uzao wa Zera. Mwezi wa kumi na moja: Benaya wa muji wa Piratoni. Mwezi wa kumi na mbili: Heldai wa muji wa Netofati, wa uzao wa Otinieli.


Yonatani, mujomba wa mufalme Daudi, alikuwa mushauri na mutu mwenye ufahamu na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakemoni aliwafundisha wana wa mufalme.


Samusoni akaona mufupa mubichi wa taya ya punda, akautumia kuwaua watu elfu moja.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ