2 Samweli 23:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Lakini watu waovu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kukamatwa kwa mukono; အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Sasa ilitokea kwamba kule Gilgali kulikuwa mutu mumoja wa ovyoovyo anayeitwa Seba mwana wa Bikiri, wa kabila la Benjamina. Basi Seba alipiga baragumu, na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi; hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese. Enyi watu wa Israeli, kila mumoja ajiendee katika hema yake!”