38 Ira na Garebu wa ukoo wa Yeteri;
Ira wa muji Yairi alikuwa vilevile kuhani wa Daudi.
pamoja na ukoo hizi zilizoishi Kiriati-Yearimu: Waitiri, Waputi, Wasumati na Wamisira. (Wazorati na Waestaoli walitoka katika watu wale).