33 na Sama wa muji Harari; Ahiamu mwana wa Sarari wa muji Arari;
Shujaa wa tatu alikuwa Sama mwana wa Age, wa muji wa Harari. Wafilistini walikusanyika kule Lehi, pahali palipokuwa shamba la manjegere nyingi. Kule Waisraeli waliwakimbia Wafilistini.
Elifeleti mwana wa Ahasibayi wa Maka; Eliamu mwana wa Ahitofeli wa Gilo;