2 Samweli 23:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
23 Akakuwa na heshima pamoja na wale mashujaa makumi tatu, ingawa hakukuwa kama wale mashujaa watatu. Na Daudi akamupa cheo cha mukubwa wa waaskari walinzi wake.
Ahimeleki akamujibu: “Kati ya watumishi wako, Daudi ndiye mukubwa wa kuaminika kuliko wote. Yeye ni mukwe wako wewe mufalme mwenyewe, mukubwa wa waaskari wako walinzi na anaheshimiwa kuliko wote katika nyumba yako.