Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 23:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Akakuwa na heshima pamoja na wale mashujaa makumi tatu, ingawa hakukuwa kama wale mashujaa watatu. Na Daudi akamupa cheo cha mukubwa wa waaskari walinzi wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 23:23
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa Yoabu alikuwa jemadari wa waaskari wote wa Waisraeli. Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa jemadari wa Wakereti na Wapeleti.


Benaya mwana wa Yehoyada alifanya mambo haya, akajipatia sifa pamoja na wale mashujaa watatu.


Asaeli ndugu ya Yoabu, alikuwa mumoja wa mashujaa makumi tatu. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elihanani, mwana wa Dodo wa Betelehemu;


Vilevile alitwaa shaba nyingi sana kutoka miji ya Beta na Berotayi, iliyokuwa miji ya Hadadezeri.


Mutu akiwa peke yake anaweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watashinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki upesi.


Ahimeleki akamujibu: “Kati ya watumishi wako, Daudi ndiye mukubwa wa kuaminika kuliko wote. Yeye ni mukwe wako wewe mufalme mwenyewe, mukubwa wa waaskari wako walinzi na anaheshimiwa kuliko wote katika nyumba yako.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ