Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 23:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Benaya mwana wa Yehoyada alifanya mambo haya, akajipatia sifa pamoja na wale mashujaa watatu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 23:22
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abisayi akatoka akiwa pamoja na Yoabu, Wakereti na Wapeleti pamoja na mashujaa wote. Hao wote waliondoka Yerusalema kwenda kumufuata Seba mwana wa Bikiri.


Naye Benaya mwana wa Yehoyada wa muji Kabuseli, alikuwa askari shujaa ambaye alifanya mambo mengi ya ajabu. Aliwaua mashujaa wawili kutoka Moabu, na siku moja wakati wa teluji, alishuka katika shimo na kuua simba.


Vilevile, aliua mutu mumoja jitu wa Misri. Mumisri yule alikuwa na mukuki, lakini Benaya alimwendea akiwa na fimbo tu, akamunyanganya mukuki ule, na kumwua Mumisri yule kwa mukuki wake mwenyewe.


Akakuwa na heshima pamoja na wale mashujaa makumi tatu, ingawa hakukuwa kama wale mashujaa watatu. Na Daudi akamupa cheo cha mukubwa wa waaskari walinzi wake.


Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa kiongozi wa Wakereti na Wapeleti. Wana wa Daudi wakakuwa makuhani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ