2 Samweli 23:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200220 Naye Benaya mwana wa Yehoyada wa muji Kabuseli, alikuwa askari shujaa ambaye alifanya mambo mengi ya ajabu. Aliwaua mashujaa wawili kutoka Moabu, na siku moja wakati wa teluji, alishuka katika shimo na kuua simba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |