2 Roho wa Yawe amesema kwa njia yangu, aliyaweka maneno yake katika kinywa changu.
Na sasa, bwana wangu mufalme, Waisraeli wote wanakungojea, kusudi uwaambie yule atakayeikaa juu ya kiti chako nyuma yako, bwana wangu mufalme.
Na Yesu akawaambia: “Basi namna gani Daudi, akiongozwa na Roho, aliweza kumwita ‘Bwana’, akisema:
Daudi yeye mwenyewe, akiongozwa na Roho Mutakatifu, alisema: ‘Bwana wetu Mungu alimwambia Bwana wangu: Ikaa na mamlaka kwa kuume kwangu, mpaka nitakapoweka waadui zako chini ya miguu yako.’
Maana hakuna hata ujumbe wowote uliotetewa kwa mapenzi ya kimutu, lakini watu walipasha ujumbe wa Mungu wakiongozwa na Roho Mutakatifu.