Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 23:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Daudi akasema kwa hamu kubwa: “Ni nani atakayeweza kunipa maji ya kunywa kutoka katika kisima cha Betelehemu, kinachokuwa karibu na mulango wa muji!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 23:15
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Rakeli akakufa na kuzikwa kando ya njia inayokwenda Efurata, ni kusema Betelehemu.


Wale mashujaa wake watatu walitoka, wakapenya katikati ya kambi ya kundi la waaskari wa Wafilistini, wakaenda na kuchota maji katika kisima cha Betelehemu, karibu na mulango wa muji, wakamuletea Daudi. Lakini Daudi alikataa kuyakunywa, na pahali pa kuyakunywa, akayamwanga chini kama vile sadaka kwa Yawe,


Daudi akapatwa na hamu kubwa akasema: “Heri kama mutu angeweza kunipa maji ya kunywa kutoka katika kisima cha Betelehemu kinachokuwa karibu na mulango wa muji!”


Ninachoka kwa kukungojea uniokoe; ninatumainia neno lako.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Wamasikini na wakosefu wakitafuta maji lakini hawayapati, wakiwa wamekauka koo kwa kiu, mimi Yawe nitawajibu; mimi Mungu wa Israeli, sitawaacha.


Nitaimwangilia maji inchi yenye kiu, na kutiririsha muto katika inchi iliyokauka. Nitajaza roho wangu juu ya wazao wako, nitawamwangia watoto wako baraka yangu.


Yesu akamujibu: “Kama ungejua kitu Mungu anachoweza kukupatia, na ni nani anayekuomba maji ya kunywa, wewe ndiwe ungemwomba, naye angekupa maji ya uzima.”


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayomupa, hatasikia kiu tena hata kidogo. Maji nitakayomupa yatakuwa ndani yake kama chemichemi inayotiririka maji ya uzima wa milele.”


Siku ya mwisho ya sikukuu ile iliyokuwa siku kubwa, Yesu akasimama na kusema hivi kwa sauti: “Mutu akiwa na kiu, akuje kwangu akunywe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ