6 kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya kifo ilikuwa mbele yangu.
Lakini kama watu wakifungwa minyororo, wakinaswa katika kamba za mateso,
Hatari ya kifo ilinizunguka, vitisho vya kaburi vilinishika; nilisongwa na mahangaiko na huzuni.
Ee Yawe, unilinde na makucha ya wabaya; unikinge na watesaji wakali ambao wamepanga kuniangusha.
Kamba za kifo zilinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinishambulia;
Mafundisho ya wenye hekima ni chemichemi ya uzima; inamwezesha mutu kuepuka mitego ya kifo.
Kumwogopa Yawe ni chemichemi ya uzima inayowezesha mutu kuepuka mitego ya kifo.
Mutu mwovu ananaswa kwa uovu wake mwenyewe; anakamatwa na vifungo vya zambi yake mwenyewe.
Basi, Yona akiwa ndani ya tumbo la samaki yule, akamwomba Yawe Mungu wake,
“Wakati mutakapoona muji wa Yerusalema umezungukwa na waaskari, mujue kwamba uharibifu wake unakaribia.
Lakini Mungu alimufufua, akimufungua toka vifungo vya lufu, kwa sababu haikuwezekana afungwe na lufu.