Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 22:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

51 Mungu anamujalia mufalme wake ushindi mukubwa; anamutendea mema muchaguliwa wake, ndiye Daudi na wazao wake milele.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 22:51
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alisema: Yawe ni: kikingio changu, kimbilio langu, mukombozi wangu,


Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi. Ni ujumbe wa Daudi mwana wa Yese, ujumbe wa mutu ambaye Mungu alimufanya akuwe mukubwa, muchaguliwa wa Mungu wa Yakobo, mwimbaji muzuri wa zaburi wa Israeli:


Ukoo wako na ufalme wako vitadumu imara siku zote. Kiti chako cha kifalme kitakuwa imara milele.”


wewe unayewapa wafalme ushindi, unayemwokoa mutumishi wako Daudi!


Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa, nitaliimbia sifa jina lako.


Wengi wanasema juu yangu: “Hautapata musaada wowote kwa Mungu.”


Sayuni, mulima wa Mungu, unapendeza kwa urefu; muji wa Mufalme mukubwa ni furaha ya ulimwengu.


Zamani ulisema katika maono, ukawaambia watumishi wako waaminifu: “Nimemupa nguvu shujaa mumoja, nimemwinua huyo niliyemuchagua kati ya watu.


Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomuchukia.


Nitaongeza nguvu na utawala wake, kutoka bahari ya Mediteranea mpaka muto Furati.


Nitamwonyesha wema wangu kwa milele, na agano langu kwake litadumu siku zote.


“Nimeapa mara moja tu kwa utakatifu wangu; nami sitamwambia Daudi uongo.


utaweza kumwambia Yawe: “Wewe ni kimbilio langu ninamojificha, Mungu wangu ninayemutumainia!”


Nao hawatakuwa tena watumwa wa wageni, lakini watanitumikia mimi Yawe, Mungu wao pamoja na mufalme wa ukoo wa Daudi ambaye nitakayewasimikia.


Kisha malaika wa saba akapiga baragumu. Halafu sauti kubwa zikasikilika katika mbingu, zikisema: “Sasa utawala juu ya dunia ni wa Bwana wetu na wa Masiya wake. Naye atatawala kwa milele na milele!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ