50 Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
Mungu anamujalia mufalme wake ushindi mukubwa; anamutendea mema muchaguliwa wake, ndiye Daudi na wazao wake milele.
Ee Yawe, nitakushukuru kati ya mataifa; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Ameniokoa kutoka waadui zangu, Ee Yawe, ulinitukuza juu ya wapinzani wangu na kuniponyesha kutoka watesaji wakali.
Vilevile ilikuwa kusudi watu wa mataifa mengine wamutukuze Mungu kwa huruma yake, kama inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Kwa hiyo nitakutukuza kati ya mataifa, nitakuimbia sifa.”