41 Uliwakimbiza waadui zangu, na wale walionichukia niliwaangamiza.
“Wewe Yuda, wandugu zako watakusifu. Mukono wako utashika shingo la waadui zako, na wandugu zako watainama mbele yako.
Nitapeleka kitisho mbele yenu na kuwavuruga watu wote mutakaowafikia. Waadui zenu nitawafanya wageuke na kuwakimbia.
Lakini wanainchi wenzake walimuchukia. Kwa hiyo wakatuma wajumbe kumufuata nyuma waende kusema: ‘Hatutaki mutu huyu kuwa mufalme wetu.’
Na sasa kwa ngambo ya wale waadui zangu walionikataa mimi kuwa mufalme wao, muwalete hapa na kuwaua mbele yangu.’ ”
Wafalme hao walipoletwa, Yoshua akawaita Waisraeli wote na wakubwa wa waaskari waliokwenda naye kwa vita, akawaambia: “Mukuje karibu muwakanyage wafalme hawa kwenye shingo yao.” Nao wakasogea na kuwakanyaga kwenye shingo.