36 Umenipa ngao yako ya kuniokoa; umenifanikisha kwa wema wako.
Nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, nitakubariki na kutukuza jina lako, nawe utakuwa baraka.
Nyuma ya mambo hayo, neno la Yawe lilimufikia Abramu katika maono kusema hivi: “Abramu! Usiogope! Mimi ni ngao yako. Zawadi yako itakuwa kubwa!”
hakika nitakubariki, na wazao wako nitawazidisha kama nyota mbinguni na kama muchanga pembeni ya bahari. Wazao wako watarizi miji ya waadui zao.
Yawe awajalie muongezeke; awajalie muongezeke ninyi na wazao wenu!
Ananifundisha kupigana vita, mikono yangu iweze kuvuta upinde wa chuma.
Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.
Na zaidi ya hivi vyote, muchunge imani kama vile munavyoshika ngao, kusudi mupate kuzimisha mishale yote yenye moto ya yule Mwovu.
Mupokee wokovu kama vile kofia ya chuma ya kuwalinda, na Neno la Mungu kama upanga munaopewa na Roho.