26 Wewe ni mwema kwa wema, mukamilifu kwa wakamilifu,
bila kosa kwa wale ambao hawafanyi makosa, lakini mukali kwa waovu.
Heri wale wanaokuwa na huruma, maana Mungu atawahurumia!
Kwa sababu Mungu hatahurumia mutu yule asiyehurumia wengine. Lakini huruma ya Mungu itaishinda hukumu.